Simba Sports Club
News

Fadlu na Ahoua wakabidhiwa tuzo za NBC

26 Sep 2024

Wawili hao wamekabidhiwa tuzo zao kabla ya kuanza kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.

Fadlu amewapiku, Patrick Aussems wa Singida Black Stars na Mohamed Abdallah wa Mashujaa ambao aliingia nao kwenye kinyang'anyiro.

Advertisement

Kwa upande wake Ahoua amechaguliwa mchezaji bora baada ya kufunga bao moja na kusaidia kupatikana kwa mengine matatu (Assist') katika mechi mbili tulizocheza mwezi Agosti.

Back to homepage
Share this story