Simba Sports Club
News

Fadlu, Mukwala wang'ara tuzo za Ligi Kuu mwezi Machi

11 Apr 2025

Katika mwezi Machi Fadlu ametuongoza kwenye mechi mbili dhidi ya Dodoma Jiji tulioibuka na ushindi wa mabao 6-0 na Coastal Union tulioishinda mabao 3-0.

Kwa upande wake mshambuliaji Steven Mukwala amewapiku kiungo wetu Elie Mpanzu na mlinzi wa kushoto wa Azam Pascal Msindo aliyekuwa kaingia nao fainali.

Advertisement

Katika mwezi huo Mukwala amefunga mabao manne ikiwemo hat trick aliyofunga dhidi ya Coastal Union.

Back to homepage
Share this story