Katika mwezi Machi Fadlu ametuongoza kwenye mechi mbili dhidi ya Dodoma Jiji tulioibuka na ushindi wa mabao 6-0 na Coastal Union tulioishinda mabao 3-0.
Kwa upande wake mshambuliaji Steven Mukwala amewapiku kiungo wetu Elie Mpanzu na mlinzi wa kushoto wa Azam Pascal Msindo aliyekuwa kaingia nao fainali.
Advertisement
Katika mwezi huo Mukwala amefunga mabao manne ikiwemo hat trick aliyofunga dhidi ya Coastal Union.