Simba Sports Club
News

Fabrice Ngoma Mchezaji bora Kombe la Mapinduzi

14 Jan 2024

Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za Kombe la Mapinduzi tulichoza.

Katika mechi hizo sita Ngoma alichaguliwa mchezaji bora wa mechi (Man of the Match) mara mbili.

Advertisement

Pamoja na mabadiliko ya kikosi yaliyokuwa yanafanywa na Kocha Abdelhak Benchikha, Ngoma amefanikiwa kucheza mechi zote.

Kuna mechi ambazo Benchikha alimtumia Ngoma kama kiungo mshambuliaji namba 10 na nyingine namba sita na wakati mwingine namba nane.

Back to homepage
Share this story