Simba Sports Club
News Videos

EXCLUSIVE: Miquissone aelezea mapokezi aliyopata baada kurejea, Aahidi furaha

29 Jul 2023

Miquissone amesema amekaa nje ya uwanja kwa miezi mitano hivyo ni muda wake wa kurudi uwanjani kuonyesha uwezo wake na kuisaidia timu.

Akizungumzia kuhusu ubora wa kikosi kwa sasa Miquissone amesema tuna timu imara na ushindani wa namba ni mkubwa na anatajia furaha itarejea msimu ujao.

Advertisement

Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kujua kitu gani amepanga kuwarejeshea Wanasimba baada ya mapokezi mazuri aliyopata.

Back to homepage
Share this story