De Reuck amesema tangu siku ya kwanza amepata mapokezi makubwa kutoka kwa mashabiki huku akifahamu kuwa Simba ni timu kubwa na ina ushindani ligi ya ndani na Afrika.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho De Reuck ametoa maoni yake juu ya nini kifanyike ili turudi kwenye kutwaa ubingwa.