Simba Sports Club
News Videos

Exclusive: CEO Zubeda aweka wazi mipango ya timu

30 Mar 2026

CEO Zubeda amesema Simba ni timu kubwa na kutokana na maboresho makubwa tuliyofanya kwenye benchi la ufundi pamoja na kuongeza nyota wapya kwenye dirisha dogo ndio maana tumeweka malengo hayo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho CEO Zubeda amefunguka mengi kuhusu maendeleo ya timu kwa sasa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story