Simba Sports Club
News

Equity na NBC zatinga Fainali Simba Bankers Bonanza

6 Apr 2025

NBC walikuwa wa kwanza kutinga fainali baada ya kuwafunga Azania Bank kwa bao moja.

Kwa upande wao Equity wao wamefanikiwa kupata nafasi hiyo baada ya kuwafunga NMB mabao 2-0.

Advertisement

Bonanza hilo linaendelea katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo muda mfupi ujao atapatikana bingwa wa michuano hiyo kwa msimu huu.

Back to homepage
Share this story