Simba Sports Club
News

Droo ya Kombe la Shirikisho kupangwa Leo Misri

7 Oct 2024

Simba tupo katika poti la kwanza sambamba na Mabingwa Zamalek, RS Berkane na USM Alger.

Pot 1:

Zamalek SC (Egypt)

RS Berkane (Morocco)

Simba SC (Tanzania)

USM Alger (Algeria)

Pot 2:

ASEC Mimosas (Ivory Coast)

Stade Malien (Mali)

Al Masry (Egypt)

CS Sfaxien (Tunisia)

Advertisement

Pot 3:

Enyimba FC (Nigeria)

ASC Jaraaf (Senegal)

Pot 4:

CD Lunda Sul (Angola)

FC Bravos (Angola)

CS Constantine (Algeria)

Orapa United (Botswana)

Black Bulls (Mozambique)

Maneja Habari na Mawasiliano Ahmed Ally atawaongoza Wanasimba kufuatilia upangaji wa droo hiyo katika Tawi la Asili ya Simba lililopo Kawe jijini Dar es Salaam tukio ambalo litarushwa moja kwa moja kupitia kwenye App hii.

Back to homepage
Share this story