Mutale alipata maumivu ya nyama za paja katika mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United na kutolewa dakika ya 31.
Dkt. Kagabo amesema Mutale amepata changamoto ya nyama za paja (hamstring muscles) lakini hali yake sio mbaya sana.
Advertisement
"Mutale alipata maumivu ya nyama za paja na tayari ameanza matibabu ya awali na uchanguzi kuhusu ukubwa wa tatizo utakamilika baada ya saa 48 ingawa inaonekana sio kubwa," amesema Dk. Kagabo.