Simba Sports Club
News

Davies Phiri Kocha mpya wa makipa

29 Dec 2025

Phiri (49) raia wa Zambia amejiunga nasi akitokea Amazulu FC ya Afrika Kusini.

Akiwa mchezaji Phiri ameitumikia timu ya Golden Arrows ya Afrika Kusini pamoja na timu ya Taifa ya Zambia 'Chipolopolo'.

Advertisement

Phiri anaungana na kocha mkuu Steve Barker kuunda benchi la ufundi litakalo ongoza timu kwenye mashindano mbalimbali kuanzia sasa.

Tayari Phiri amewasili nchini na kujiunga na kikosi kilicho anza kujiandaa na michuano ya Mapinduzi.

Back to homepage
Share this story