Simba Sports Club
News

Chilunda, Abdallah, Hussein wapaa kuelekea Uturuki

21 Jul 2023

Nyota hao ni Shaban Idd Chilunda, Abdallah Hamisi na Hussein Kazi ambao tunatarajia wataungana na wenzao leo usiku.

Wachezaji hao wanatarajia kuwasili kambini leo na kesho wataanza rasmi programu ya mazoezi.

Advertisement

Hata hivyo nyota hao wataanza mazoezi peke yao kabla ya kuungana na wenzao

Back to homepage
Share this story