Chama ataondoka pamoja na kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma ambaye mchakato wa kupata vibali vya kuingia Uturuki unaendelea vizuri.
Wawili hao wakifika Uturuki itakuwa wachezaji wote tuliowasajili kwa ajili ya msimu ujao watakuwa wamekamilika.
Advertisement
Programu za mazoezi zinaendelea vizuri kwa sasa wachezaji wanafanya asubuhi na jioni.