Kufuatia vitendo hivyo wachezaji hao watapelekwa katika kamati ya nidhamu kwa hatua zaidi za kinidhamu.
Simba imekuwa na utaratibu wa kuwapeleka kamati ya nidhamu wachezaji ili nao wao wapewe nafasi ya kusikilizwa kabla ya hatua zaidi kuchukuliwa dhidi yao.
Advertisement
Uongozi unapenda kuwakumbusha watumishi wake kuzingatia misingi ya maadili na nidhamu kwani klabu haitasita kumchukulia hatua yeyote atakayethibitika kwenda kinyume na utaratibu huo.