Nchi hizo za Afrika Mashariki zimeamua kuungana kuandaa fainali hizo ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kuandaliwa kutoka ukanda huu.
Tayari maandalizi ya nchi hizo yanaendelea huku ukarabati mkubwa wa viwanja ukifanyika na vingine vipya vikitarajiwa kujengwa.