Simba Sports Club
News

CAF yaruhusu mashabiki 35,000 mchezo dhidi ya USGN

25 Mar 2022

Ingawa tulitamani kuongeza idadi ya mashabiki zaidi ya tuliyopata kutokana na umuhimu wa mechi yenyewe lakini CAF imekubali kuruhusu idadi hiyo ya siku zote.

Tayari tiketi zimeanza kuuzwa leo kwa njia ya mitandao ya simu ikiwa bado siku tisa kabla ya mchezo ili kuwafanya mashabiki wanunue mapema.

Advertisement

Uongozi unahamasisha mashabiki kununua tiketi mapema ili kuepusha usumbufu siku ya mchezo.

Back to homepage
Share this story