Ingawa tulitamani kuongeza idadi ya mashabiki zaidi ya tuliyopata kutokana na umuhimu wa mechi yenyewe lakini CAF imekubali kuruhusu idadi hiyo ya siku zote.
Tayari tiketi zimeanza kuuzwa leo kwa njia ya mitandao ya simu ikiwa bado siku tisa kabla ya mchezo ili kuwafanya mashabiki wanunue mapema.
Advertisement
Uongozi unahamasisha mashabiki kununua tiketi mapema ili kuepusha usumbufu siku ya mchezo.