Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah 'Try Again' na Wajumbe wote wamehudhuria.
Miongoni mwa vitu vilivyojadiliwa ni pamoja na bajeti ambayo kuelekea msimu mpya wa ligi.
Advertisement
Kikao cha leo kimekuja siku moja baada ya Wajumbe wa Bodi kupewa warsha ya mafunzo ya uongozi.