Sababu ya kuahirishwa mchezo huo ni kutokana na wachezaji wa Dodoma Jiji kupata ajali katika Wilaya ya Ruangwa wikiendi iliyopita.
Taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi inasema Maafisa na baadhi ya wachezaji hawapo sawa kiafya hivyo hawataweza kuwa sehemu ya mchezo hivyo mechi imeahirishwa.
Advertisement
TPLB imesema itatoa taarifa muda si mrefu ya lini mchezo huo utapigwa tena.