Simba Sports Club
News

Benki saba zathibitisha kushiriki Simba Bankers Bonanza

5 Apr 2025

Timu hizo zimepangwa katika makundi mawili ambao timu mbili kwenye kila kundi itafuzu hatua ya nusu fainali.

Makundi hayo ni kama ifuatavyo

Kundi A

Equity Bank

Amana Bank

Stanbick Bank

NBC

Advertisement

Kundi B

TCB

NMB

Azania Bank

Bonanza la mwaka litakuwa la tofauti ya yale tuliwahi kuyafanya kuanzia Mfumo wa uendeshaji mpaka zawadi zitakazotolewa kwa washindi.

Bingwa atapata medali za Dhahabu, Kombe, seti ya jezi ya Simba tunazotumia kwenye michuano Kombe la Shirikisho Afrika na tiketi za mchezo wa Jumatano.

Back to homepage
Share this story