Timu hizo zimepangwa katika makundi mawili ambao timu mbili kwenye kila kundi itafuzu hatua ya nusu fainali.
Makundi hayo ni kama ifuatavyo
Kundi A
Equity Bank
Amana Bank
Stanbick Bank
NBC
Advertisement
Kundi B
TCB
NMB
Azania Bank
Bonanza la mwaka litakuwa la tofauti ya yale tuliwahi kuyafanya kuanzia Mfumo wa uendeshaji mpaka zawadi zitakazotolewa kwa washindi.
Bingwa atapata medali za Dhahabu, Kombe, seti ya jezi ya Simba tunazotumia kwenye michuano Kombe la Shirikisho Afrika na tiketi za mchezo wa Jumatano.