Fadlu amekuwa akifanya kazi pamoja na wasaidizi wake hawa kwa takribani miaka minne na klabu imeona ni vizuri kuambatana nao ili aweze kutupa kilicho bora.
wasaidizi wake wote kama ifuatavyo:
Kocha Msaidizi - Darian Wilken raia wa Afrika Kusini
Advertisement
Kocha wa Makipa - Wayne Sandilands raia wa Afrika Kusini
Kocha wa viungo - Riedoh Berdien raia wa Afrika Kusini
Mchambuzi wa mechi - Mueez Kajee raia wa Afrika Kusini