Simba Sports Club
News

Barbara : Maandalizi yamekamilika kwa asilimia kubwa

26 Nov 2021

Mtendaji Mkuu wa klabu, Barbara Gonzalez ameweka wazi kuwa lengo mama msimu huu ni kuhakikisha tunafika nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Barbara amesema nguvu zilizokuwa zimewekwa kwa ajili ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika zimerudishwa Shirikisho suala ambalo hata kocha Pablo Franco ameambiwa.

Advertisement

Barbara ameongeza kuwa tunahitaji kufikia malengo ya msimu uliopita katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na ikiwezekana tuyavuke ili kuendelea kuipeperusha vema bendera ya Tanzania Kimataifa.

Back to homepage
Share this story