Simba Sports Club
News

Bao la Sakho laingia tatu bora Afrika

20 Jul 2022

Sakho alifunga bao hilo Februari 13, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa acrobatic akimalizia mpira wa krosi uliopigwa na mlinzi, Shomari Kapombe.

Wachezaji ambao mabao yao yameingia tatu bora ni

Gabadinho Mhango (Malawi & Orlando Pirates)

Advertisement

Pape Ousmane Sakho (Senegal & Simba)

Zouhair El Moutaraji (Morocco & Wydad Athletic Club)

Tuzo za kutangaza bao bora ambazo mshindi atapatikana kwa kupigiwa kura nyingi zitafanyika kesho saa 3 usiku Rabat nchini Morocco.

Back to homepage
Share this story