Simba Sports Club
News

Bao la Sakho laingia 10 bora Afrika

14 Jul 2022

Sakho alifunga bao hilo kwa 'acrobatic' akimalizia mpira wa krosi uliopigwa na Shomari Kapombe kutoka upande wa kulia.

Mchezo huo umbao ulikuwa mkali na wakupendeza ulipigwa Februari 13 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Advertisement
Back to homepage
Share this story