Timu inatarajiwa kuwasili nyumbani alfajiri na wachezaji wataingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo wa marudiano utakaopigwa Jumapili ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 10 jioni.
Licha ya kupata ushindi huo ugenini tunaona bado hatujamaliza mechi ndiyo maana maandalizi ya mchezo wa marudiano tunayaanza mapema.
Advertisement
Viingilio vya mchezo vitatangazwa mapema na vituo ambavyo tiketi zitapatikana vitawekwa hadharani ili mashabiki wanunue kwa wingi.