Simba Sports Club
News

Baada ya ushindi timu yaanza safari kurejea Dar

9 Oct 2022

Timu inatarajiwa kuwasili nyumbani alfajiri na wachezaji wataingia kambini moja kwa moja kujiandaa na mchezo wa marudiano utakaopigwa Jumapili ijayo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 10 jioni.

Licha ya kupata ushindi huo ugenini tunaona bado hatujamaliza mechi ndiyo maana maandalizi ya mchezo wa marudiano tunayaanza mapema.

Advertisement

Viingilio vya mchezo vitatangazwa mapema na vituo ambavyo tiketi zitapatikana vitawekwa hadharani ili mashabiki wanunue kwa wingi.

Back to homepage
Share this story