Simba Sports Club
News

Baada ya kutua Bondeni timu yafanya mazoezi jioni

22 Apr 2022

Timu imewasili nchini Afrika Kusini mchana qmbqpo wachezaji walipumzika kwa saa chache kabla ya kufanya mazoezi jioni ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo huo.

Kesho kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Orlando utakaotumika kwa mchezo huo saa moja usiku kwa saa Tanzania muda ambao mechi itachezwa.

Advertisement

Wachezaji wote waliosafiri wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo na hakuna aliyepata maumivu mazoezini.

Back to homepage
Share this story