Simba Sports Club
News

Ayoub Lakred yupo sana Simba

8 Jul 2024

Lakred raia wa Morocco tumemsajili msimu uliopita kutoka FAR Rabat na kutokana na ubora aliouonyesha tumemuongezea mkataba mpya.

Lakred ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa muhimili wa timu msimu uliopita.

Advertisement

Tukiwa tunaendelea kusuka kikosi imara kwa ajili ya msimu ujao Lakred ni sehemu ya ujenzi wa timu ndio maana ameongezewa mkataba.

Lakred ataungana na kikosi katika kambi ya maandalizi nchini Misri moja kwa moja ambacho kitaondoka leo jioni.

Back to homepage
Share this story