Simba Sports Club
News

Awesu ajiunga na Polisi Kenya kwa mkopo

15 Jan 2026

Awesu amejiunga na kikosi chetu msimu wa 2024/2025 akitokea KMC kwa mkataba wa miaka miwili.

Awesu ni miongoni mwa nyota wenye vipaji vikubwa vya kucheza mpira na matarajio yetu atakuwa na mchango mkubwa ndani ya kikosi cha Polisi.

Advertisement

Simba inamtakia kheri Awesu katika kipindi chote cha mkopo atakapokuwa anaitumikia Polisi.

Back to homepage
Share this story