Simba Sports Club
News

Ahmed Mhamasishaji bora Kombe la Mapinduzi

13 Jan 2024

Tangu tulipofika Visiwani Zanzibar, Ahmed na timu nzima ya Idara ya Habari haijapumzika ilikuwa inatembelea viongozi mbalimbali kwa ajili ya kutangaza mashindano pamoja na Utalii.

Ahmed na timu ya Idara ya Habari tumezunguka Ofisi za Serikali na Idara mbalimbali kwa ajili ya kuhamasisha Utalii pamoja na mashindano kwa ujumla.

Advertisement

Hii ni tuzo ya kwanza kwa Ahmed pamoja na Klabu kwa ujumla huku tukitarajia kupata nyingine baada ya kukamilika kwa mchezo wa fainali.

Back to homepage
Share this story