Tuzo hiyo amekabidhiwa na Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete katika Maadhimisho ya miaka 10 ya WAKITA yaliyofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ahmed amekabidhiwa tuzo hiyo kutokana na weledi wake wa kutumia lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.