read
news & Articles

Mgosi: Tunautaka Ubingwa TWPL
Kocha Msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema malengo ya timu hiyo ni kuhakikisha tunatwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) msimu

VIDEO: Matola na Zimbwe Jr waelezea maandalizi ya mchezo dhidi ya KVZ
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Kombe la Muungano dhidi ya KVZ yako vizuri na kikosi chetu kipo kwenye hali

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Zanzibar
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kwa ajili ya mchezo wa nusu fainali ya Kombe la

Nyota 26 kuondoka mchana kuelekea Zanzibar
Kikosi cha wachezaji 26 benchi la ufundi pamoja na Viongozi kitaondoka saa sita mchana kuelekea Zanzibar tayari kwa kushiriki michuano ya Muungano. Michuano ya Muungano

Tumepoteza mechi ya Derby dhidi ya Yanga
Mchezo wetu wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya watani wa jadi Yanga umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga Leo
Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Abdelhak Benchikha amefanya
