read
news & Articles

Timu yawasili salama Arusha
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Arusha tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utakaopigwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

Mchezo wetu dhidi ya KMC kupigwa Sheikh Amri Abeid
Mchezo wetu wa mzunguko wa 29 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya KMC utapigwa Mei 25 katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Highlights: Simba 4-1 Geita Gold
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi umemalizika kwa kuibuka na ushindi mabao 4-1. Tazama

Tumezipata Pointi tatu kutoka kwa Geita
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Geita Gold uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Geita Gold
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Juma

Tabiri kikosi kitakachopagwa dhidi ya Geita Jiji Leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Geita Gold kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tabiri hapa