read
news & Articles

Mgunda: Tuna mechi ngumu kesho
Kaimu Kocha Mkuu Juma Mgunda amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC yamekamilika. Mgunda amesema wachezaji wapo

Mgunda: Ya Tabora yameisha tunajiandaa na Azam
Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mgunda amesema baada ya ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Tabora United sasa tunajipanga kwa ajili ya mechi inayofuata na

Tumechukua alama tatu kutoka Tabora United
Tumezipata alama tatu za nyumbani dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Mchezo ulianza kwa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Tabora United
Kikosi chetu leo saa 12:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Juma

Leo tupo Azam Complex kuikabili Tabora
Kikosi chetu leo 12:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Tabora United katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia kwenye mchezo wa

Queens yaendeleza ubabe yaichapa Amani
Kikosi cha Simba Queens kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Amani Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa
