read
news & Articles
Tunarejea Ligi Kuu kwa kuikaribisha Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunashuka katika mchezo wa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Ihefu
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Ihefu
Alichosema Robertinho kuelekea Mchezo wa Kesho dhidi ya Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utakuwa mgumu
Timu yarejea jijini Dar es Salaam
Kikosi chetu kimerejea salama jijini Dar es Salaam kutoka nchini Misri baada ya jana kucheza na Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa African Football
Robertinho awapongeza wachezaji kwa kuipigania timu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kupambana hadi mwisho licha ya kutolewa na Al Ahly kwa faida ya bao la ugenini. Robertinho amesema
Hatukufanikiwa kutinga nusu fainali ya AFL
Sare ya kufungana bao moja ugenini dhidi ya Al Ahly haijaweza kutusaidia kutinga nusu ya African Football League (AFL) kutokana wa wapinzani wetu kunufaika na