read
news & Articles

Asante Kennedy Juma
Baada ya miaka mitano aliyodumu ndani ya klabu yetu mlinzi wa kati Kennedy Wilson Juma hatokuwa sehemu ya kikosi chetu kuelekea msimu mpya baada ya

Mgunda Kocha Bora Mwezi Mei
Kocha Mkuu Juma Mgunda amechaguliwa kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC wa mwezi Mei. Mgunda amewapiku Miguel Gamondi wa Yanga na Bruno Ferry wa

Queens inahitaji alama moja kurejesha ubingwa wetu
Timu yetu ya Simba Queens imebakisha alama moja tu kabla ya kutawazwa Mabingwa na kurejesha taji la Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) ambalo tulilipoteza

Nyota saba waitwa timu zao za Taifa
Wachezaji wetu saba wameitwa katika timu zao kwa ajili ya kujiandaa na mechi za kufuzu Kombe la Dunia mapema mwezi ujao. Nyota watano wameitwa kwenye

Tumemaliza msimu wa 2023/24 kwa ushindi
Rasmi Leo tumekamilisha msimu wa Ligi Kuu ya NBC 2023/24 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya JKT Tanzania
Kikosi chetu leo saa 10 jioni usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kiungo mshambuliaji
