read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kabla ya kuanza safari mchana kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa
Timu kurejea mazoezini leo
Kikosi chetu leo jioni kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco
Benchikha: Tulistahili pointi tatu
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume tulistahili kupata alama
Tumepata sare ugenini
Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume nchini Botswana
Kikosi chetu kitakachotuwakilisha dhidi ya Jwaneng Galaxy
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Obeid Ituni Chilume kuibali Jwaneng Galaxy katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya
Tupo Obeid Ituni Chilume Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Obeid Ituni Chilume kuibali Jwaneng Galaxy katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya