read

news & Articles

Infantino aipongeza Simba Queens

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino ameipongeza timu yetu ya Simba Queens kwa kufanikiwa kuibuka na ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake

Wachezaji wapewa mafunzo ya awali

Wachezaji wetu leo wamepewa mafunzo ya awali (Orientation) ya kitu gani wanatakiwa kukifanya kabla kuanza maandalizi ya msimu na baadae mashindano yenyewe. Mafunzo hayo yameongozwa

Omari Omari ni Mnyama

Tumekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Omari Omari kutoka Mashujaa FC kwa mkataba wa miaka miwili. Omari ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 19 ambaye

Debora Fernandes ni Mnyama

Kiungo ‘fundi’ Debora Fernandes Mavambo (24) mwenye uraia pacha wa Congo Brazaville lakini anaechezea timu ya taifa ya Gabon amejiunga nasi kwa mkataba wa miaka

Augustine Okajepha ni Mnyama

Ni rasmi tumekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria kutoka Rivers United kwa mkataba wa miaka mitatu. Okajepha ni mchezaji kijana mwenye

Fadlu Davids ndiye kocha wetu Mkuu

Tumefikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wetu Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili. Kabla

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC