read
news & Articles

Timu yarejea kutoka Dodoma
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Dodoma baada ya jana kufanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Dodoma Jiji kwenye mchezo

VIDEO: Mechi dhidi ya Dodoma ilikuwa ngumu
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema mchezo dhidi ya Dodoma Jiji ulikuwa mgumu lakini amewapongeza wachezaji kwa kujituma muda wote. Kocha Fadlu amesema tulikuwa na uwezo

Tumechukua alama zote Jamhuri
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri umemalizika kwa kuibuka na ushindi wa bao moja. Mchezo

Kikosi kilichopangwa kuikabili Dodoma Jiji
Leo saa 12:30 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jumhuri kuikabili Dodoma Jiji kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu Davids amefanya

Tupo Tayari kuikabili Dodoma Jiji
Leo saa 12:30 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Jamhuri kuikabili Dodoma Jiji katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia kwenye mchezo wa

Kauli ya Kocha Fadlu kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Dodoma Jiji
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi kuelekea mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji yapo kwenye hatua nzuri. Kocha
