read
news & Articles

Timu yarejea, yaingia kambini moja kwa moja
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam kutoka Mbeya baada ya jana kucheza mechi ya Ligi Kuu ya NBC dhidi Tanzania Prisons na kuibuka na

VIDEO: Kocha Fadlu afunguka ushindi dhidi ya Prisons
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Tanzania Prisons ulikuwa muhimu kwakuwa tulihitaji zaidi kuupata. Kocha Fadlu ameongeza kuwa amefanya

Tumepata pointi tatu muhimu Sokoine
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Sokoine jijini

Kikosi kitachotuwakilisha dhidi ya Tanzania Prisons
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Sokoine kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu Davids amefanya

Tabiri Kikosi kitakachopangwa dhidi ya Tanzania Prisons
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Sokoine kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tabiri kikosi ambacho unaamini

Tupo tayari kuikabili Prisons Sokoine Leo
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa saa 10
