read
news & Articles

Sowah: Mimi sio mkorofi kama mnavyodhani
Mshambuliaji wetu nyota, Jonathan Sowah ‘Simba Mweusi’ ameweka wazi kuwa yeye sio mchezaji mkorofi na asiye na nidhamu bali yeye ni mtu anayependa amani. Sowah

Fadlu akoshwa na usajili tuliofanya
Kocha Mkuu, Fadlu Davids ameweka wazi furaha yake kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 kutokana na aina ya wachezaji tuliowasajili. Fadlu amesema msimu uliopita tulikuwa

Kapombe aibeba Stars dakika za jiioooni!!
Bao pekee lililofungwa na mlinzi wa kulia, Shomari Kapombe limetosha kuipa Tanzania ushindi muhimu dhidi ya Mauritania katika mchezo wa pili wa kundi B kwenye

VIDEO: Fadlu afunguka kuhusu kambi ya Misri
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema maandalizi ya timu yanaendelea vizuri huku akiwapongeza wachezaji kwa kujitunza katika kipindi chote cha mapumziko baada ya msimu kumalizika. Fadlu

Karibu Simba Anthony Mligo
Tumeendelea kuimarisha kikosi chetu kuelekea msimu mpya wa mashindano 2025/2026 ambapo sasa tumefanikiwa kuinasa saini ya mlinzi wa kushoto, Anthony Mligo. Mligo tumemsajili kutoka Namungo

Timu yaendelea na mazoezi Suez Canal
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2025/2026 katika Uwanja wa Mamlaka ya Suez Canal hapa katika mji wa Ismailia.