read
news & Articles

Ahmed: Tumeweka Viingilio rafiki, Wanasimba tukutane kwa Mkapa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema tumeweka kiingilio kidogo kwenye mchezo dhidi ya CS Sfaxien kwakuwa tunahitaji mashabiki wajitojeze kwa wingi uwanjani.

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili JKT Queens
Leo saa 10 jioni Simba Queens itashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili JKT Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Hiki

Simba Queens ipo tayari kuikabili JKT Kesho
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema kikosi chake kipo kwenye hali nzuri kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake

Tumepoteza dhidi ya CS Constantine
Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya CS Constantine kutoka Algeria uliopigwa Uwanja wa Chahid Hamlaoui umemalizika

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya CS Constantine
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui kuikabili CS Constantine kutoka Algeria katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi

Tupo tayari kuikabili CS Constantine Leo
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Chahid Hamlaoui kuikabili CS Constantine kutoka Algeria katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi
