read
news & Articles

Simba yapiga tizi Nyamagana kuiwinda Ruvu Shooting
Kikosi chetu kimefanya mazoezi leo jioni kujiandaa na mchezo dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba keshokutwa Alhamisi. Kikosi kiliwasili hapa jijini Mwanza

Simba yatua Mwanza kuivaa Ruvu Shooting
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Mwanza leo kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Uwanja wa CCM Kirumba Alhamisi Juni

Simba yarejea Dar wachezaji wapewa mapumziko
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam leo asubuhi kikitokea Mtwara ambapo wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja. Baada ya mchezo dhidi ya Namungo

Simba yapiga tizi Nangwanda kujiandaa na Ruvu Shooting
Kikosi chetu leo jioni kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona hapa Mtwara ili kuweka miili sawa baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu

Bocco, Morrison, Lwanga wachuana mchezaji Bora Mei
Nyota watatu wakiwamo Nahodha John Bocco, Bernard Morrison na Taddeo Lwanga wameingia fainali ya kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Mei (Emirate Aluminium Profile

Gomes, Chama wakabidhiwa tuzo zao za VPL
Kocha Didier Gomes amekabidhiwa tuzo yake ya Kocha Bora wa Aprili ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania na kiungo Clatous Chama aliyekuwa mchezaji bora wa
