read
news & Articles

Gomes: Tumeumia, tumewaangusha mashabiki wetu
Baada ya kupoteza mchezo wa jana dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu Didier Gomes amesema matokeo hayo yametuumiza kwani tumewaangusha mashabiki wetu ambao walikuwa na matumaini

Wametuchelewesha tu, ubingwa uko pale pale
Pamoja na kupoteza mchezo kwa bao moja mbele ya watani wetu Yanga lakini ni kama wametuchelewesha ila ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu

Morrison aanza ‘full kuwakera’ kwa Mkapa leo
Kiungo mshambuliaji Bernard Morrison ameanzishwa katika kikosi cha kwanza kilichopangwa kuikabili Yanga kwenye mchezo wa ligi kuu utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa leo saa 11

Tunataka taji letu la VPL leo
Alama tatu dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga kwenye mchezo wa leo zitatufanya kutawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), kwa

Simba kuwakosa wawili mechi na Yanga kesho
Katika mchezo wetu wa watani wa jadi wa kesho tutakosa huduma ya nyota wetu wawili Ibrahim Ajibu ambaye anasumbuliwa na Malaria pamoja na Jonas Mkude

Gomes: Nimetazama mechi nane za Mtani, najua jinsi ya kuwakabili
Kocha Mkuu Didier Gomes, amesema ameangalia kwa makini mechi nane za watani wetu Yanga ambao tutakutana Jumamosi hii hivyo anajua jinsi ya kuwakabili. Gomes amesema