read
news & Articles

Simba kushusha kikosi Kamili dhidi ya Namungo Kesho
Kuelekea kukamilisha msimu wa Ligi Kuu 2020/21, benchi la ufundi limeweka wazi kesho tutashusha kikosi kamili katika mchezo dhidi ya Namungo FC ambao tutakabidhiwa taji

Zimbwe Jr awaita mashabiki kusherekea ubingwa kwa Mkapa Jumapili
Nahodha msaidizi, Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amewataka mashabiki wetu kujitokeza kwa wingi katika mchezo wetu wa Jumapili dhidi ya Namungo FC ambao tutakabidhiwa taji letu

Gomes awamwagia sifa wachezaji mechi dhidi ya Azam
Kocha Mkuu Didier Gomes amewasifu wachezaji kwa kujitoa na kupambana hadi mwisho kwenye mchezo wa jana wa ligi kuu dhidi ya Azam FC. Katika mchezo

Gomes, Bocco wang’ara tuzo za VPL Juni
Kocha Didier Gomes amechaguliwa Kocha Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara wa mwezi Juni huku Nahodha John Bocco akichaguliwa mchezaji bora. Gomes ametuwezesha

Simba,Azam zagawana pointi
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi Azam FC uliopigwa uwanja wa Azam Complex umemalizika kwa sare kufungana bao moja. Mtanange huo

Ndemla kuanza, Bocco, Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Azam leo
Kocha Didier Gomes amemuanzisha kiungo Said Ndemla katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaopigwa katika Uwanja
