read
news & Articles

Simba Queens yaenda Kenya kushiriki michuano ya CAF
Kikosi cha timu yetu ya Wanawake Simba Queens, kimeondoka alfajiri kuelekea nchini Kenya kikiwa na wachezaji 22 tayari kushiriki michuano ya CAF Women Champions Ukanda

Ipo siku Simba Day itafanyika nje ya Tanzania!!!
Na Ezekiel Kamwaga NIMEMALIZA kuzungumza kwa simu na mwandishi kutoka Malawi, Brighton Kanyama, na ameniuliza jambo moja tu; Simba Day ni lini? Kwa maelezo yake

Simba yarudi gym kutafuta stamina
Kikosi chetu leo asubuhi kimefanya mazoezi gym kuendelea kutafuta stamina kabla ya kuanza mikiki mikiki ya msimu mpya wa ligi 2021/22. Baada ya kikosi kutua

Simba, yaibana FA Rabat Morocco
Kikosi chetu kimetoka sare ya mabao 2-2 na FAR Rabat katika mchezo wa kirafiki hapa nchini Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa

Simba Queens yajipima na Ukonga Boys kujiandaa na CECAFA
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ukonga Boys U15 katika mchezo wa kirafiki ikiwa ni

Sadio Kanoute ni mali ya Simba
Kiungo Sadio Kanoute (24) raia wa Mali amekuwa mchezaji wetu rasmi baada ya kumsajili kutoka Al- Ahli Benghazi ya Libya. Akiwa Benghazi Kanoute amekuwa mchezaji
