read
news & Articles

Duncan aanza mazoezi Morocco
Nyota wetu mpya Duncan Nyoni ameanza mazoezi rasmi na wachezaji wenzake hapa kambini nchini Morocco. Duncan raia wa Malawi amejiunga leo kambini na moja kwa

Israel Patrick ni Mwekundu
Mlinzi wa kulia Israel Patrick Mwenda, amejiunga na kikosi chetu akitokea Timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC). Mwenda amekuwa kwenye kiwango bora msimu uliopita akiwa

Henock Inonga ni Mwekundu
Mlinzi wa kati Henock Inonga Baka raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na kikosi chetu kutoka DC Motema Pembe. Baka maarufu Varane tayari

Sakho aanza kuonyesha yake Morocco
Baada ya kukamilisha usajili kiungo mshambuliaji Pape Ousmane Sakho ameanza mazoezi pamoja na wachezaji wenzake katika kambi inayoendelea nchini Morocco. Licha ugeni kikosini Sakho ameonyesha

Simba yashusha mashine nyingine kutoka Malawi
Klabu yetu imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Malawi, Duncan Nyoni kutoka Timu ya Silver Strikers FC. Duncan 23, ambaye hutumia zaidi mguu wa

Simba kuanza hatua ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika
Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeitaja Simba kuwa miongoni mwa timu 10 ambazo hazitaanza hatua ya awali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. CAF
