read
news & Articles

Oppah kuongoza mashambulizi dhidi ya Vihiga leo
Mshambuliaji nyota wa timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens, Oppah Clement ataongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Caf Women’s Champions League

Hiki hapa kikosi cha nyota 21 wa Simba wanaokwenda kambini Arusha
Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitasafiri kwa ndege kuelekea jijini Arusha kwa kambi ya wiki mbili kujiandaa na Msimu Mpya wa Ligi 2021/22. Kikosi

Nyota Simba Queens na matumaini kibao kuelekea Nusu Fainali Kesho
Wachezaji wetu wa timu ya Wanawake ya Simba Queens wamejawa na matumaini makubwa ya kushinda na kutinga nusu fainali ya michuano ya Caf Women’s Champions

Simba kumalizia kambi Arusha
Kikosi cha wachezaji 23 na viongozi 11 wa Simba, kitaondoka jijini Dar es Salaam kesho kuelekea Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa

Oppah, Mawete wafunguka baada ya kupiga ‘hat trick’
Washambuliaji wetu wa Timu ya Wanawake Simba Queens, Oppah Clement na Mawete Musolo wameweka wazi kuwa furaha yao ni kuhakikisha timu inapata ushindi vitu vingine

Simba Queens yatinga nusu fainali kibabe, yaichakaza FAD FC 10-0
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens, kimefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya Cecafa Samia Women Cup baada ya kuichakaza bila huruma
