read
news & Articles

Simba yarejea mazoezini leo
Baada ya mapumziko ya siku mbili kikosi chetu kinarejea mazoezini leo kujiandaa na mchezo wa hatua ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya

Nyota saba kiimataifa waitwa timu zao za taifa
Nyota wetu saba wa kimataifa wataondoka kesho kwenda kujiunga na timu zao za taifa zinazojiandaa na mechi za kufuzu Fainali za Kombe la Dunia. Mechi

Kagere arejesha tabasamu kwa mashabiki akiitungua Dodoma
Bao pekee lililofungwa na mshambuliaji Medie Kagere limetosha kutupa alama tatu muhimu dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu uliopigwa Uwanja Jamhuri. Kagere

Mugalu arejea, kuongoza mashambulizi dhidi ya Dodoma leo
Baada ya kutopata nafasi kwenye mchezo wa kwanza wa ligi dhidi ya Biashara United mshambuliaji Chris Mugalu ataongoza mashambulizi kwenye mechi ya leo dhidi ya

Kennedy, Sakho wawekwa chini ya uangalizi, waendelea vizuri
Mlinzi wa kati Kennedy Juma na kiungo mshambuliaji Pape Sakho wanaendelea vizuri baada ya kupelekwa hospitali kutokana na kuumia kwenye mchezo wetu dhidi ya Dodoma

Simba yafanya mazoezi ya mwisho kuivaa Dodoma
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa kesho saa 10 jioni katika Uwanja wa
