Manula Kipa Bora VPL, ASFC

Mlinda mlango wetu Aishi Manula ameibuka Kipa Bora wa Ligi Kuu na Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Msimu wa 2020/21.

Hii inakuwa mara ya tano mfululizo kwa Manula kushinda tuzo hiyo.

Manula amekuwa kwenye kiwango bora kuanzia Simba na katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER