read
news & Articles

Simba Queens kurejea mazoezini leo kujiandaa na ligi
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo itaanza mazoezi rasmi kujiandaa na Ligi Kuu ‘Serengeti Lite Women’s Premier League’ ambayo inatarajia kuanza Novemba 13.

Simba, Coastal hakuna mbabe
Mchezo wetu Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare ya bila kufungana katika mechi ambayo ilikuwa

Bocco, Kibu kuongoza mashambulizi dhidi ya Coastal
Nahodha John Bocco na Kibu Denis wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Uwanja wa Benjamin

Tunazitaka pointi tatu za Coastal leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Coastal Union kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tumejipanga kubakisha

Simba yajipanga kuanza kutoa dozi nene
Baada ya kupata ushindi lakini kwa idadi ndogo ya mabao benchi la ufundi limejipanga kuhakikisha tunaanza kutoa dozi tukianza katika mchezo wa kesho wa Ligi

Alichosema Matola baada ya kumaliza kozi
Kocha wetu msaidizi Seleman Matola ni miongoni mwa washiriki 25 waliohitimu kozi ya Diploma B ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) iliyofungwa leo mkoani Morogoro.
