read
news & Articles

Pablo awamwagia sifa wachezaji
Kocha Mkuu Pablo Franco, amewasifu wachezaji kwa kujituma muda wote wa mchezo na kutufanya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Red Arrows ya

Simba yatanguliza mguu mmoja ndani makundi Shirikisho Afrika
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata nyumbani dhidi ya Red Arrows leo umetufanya kuingiza mguu mmoja ndani katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika. Matokeo

Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Red Arrows
Mshambuliaji Medie Kagere amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa keo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows utakaopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa

Simba ya kimataifa zaidi
Timu yetu inarejea katika michuano ya kimataifa ambayo mara nyingi tumekuwa tukipeperusha vema bendera ya nchi ambapao tumekuwa miongoni mwa miamba 10 bora Afrika msimu

Simba kutorudia makosa kwa Red Arrows
Nahodha wa timu John Bocco, amesema maandalizi kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows yamekamilika na wachezaji wamejipanga kuhakikisha hawarudii makosa.

Pablo ajiamini kuwamaliza Red Arrows
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema anaamini tutaibuka na ushindi katika mchezo wetu wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Red Arrows kutoka Zambia
