read
news & Articles
Alichosema Kocha Gomez baada ya ushindi dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu, Didier Gomez amefurahishwa na ushindi wa mabao 2-0 tulioupata dhidi ya Kagera Sugar huku akiwamwagia sifa wachezaji kwa kuonyesha kiwango kizuri. Gomez amesema
Simba yailamba sukari ya Kagera Kaitaba
Timu ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa katika Uwanja wa
Mugalu kuongoza mashambulizi, Lwanga, Miquissone ndani
Mshambuliaji Chris Mugalu amepewa dhamana ya kuongoza mashambulizi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa leo saa 10 jioni katika
Simba kusaka pointi tatu nyingine za Kanda ya Ziwa leo
Kikosi chetu leo kitaendelea kampeni ya kusaka pointi tatu kwenye mechi zetu za Kanda ya Ziwa ambapo leo tutashuka katika Uwanja wa Kaitaba kuikabili Kagera
Simba yasaini mkataba wa bilioni mbili na Vunjabei
Klabu ya Simba imeisaini mkataba wa miaka miwili na kampuni ya Vunjabeigroup wa kutengeneza na kusambaza jezi za timu ya wakubwa, wanawake na vijana wenye
Simba yarejea Mwanza kuisubiri Kagera Sugar
Kikosi chetu leo kimerejea jijini Mwanza ambapo moja kwa moja kimeanza maandalizi ya mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumatano katika