read
news & Articles

Tumezindua kampeni ya hamasa kuelekea mechi USGN
Katika kuonyesha tumedhamiria kushinda na kutinga Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika leo tumezindua kampeni ya hamasa kwa mashabiki ili kujitokeza kwa

Pablo: Tunataka ushindi kwa ajili ya mashabiki wetu
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa tunahitaji kupata ushindi katika mchezo wetu wa Jumapili wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie ili

Ahmed: Tumejifunza kutokana na makosa, hatutayarudia
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema kuwa bila kuangalia historia ya wapinzani wetu US Gandarmerie tutaingia Jumapili kwa lengo moja kupambana

Banda Mchezaji Bora wa Mashabiki Machi
Winga Peter Banda, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Banda amewapiku kiungo mshambuliaji, Pape

Timu yafanya mazoezi Mo Arena
Baada ya kuingia rasmi kambini leo mchana kikosi kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Mo Simba Arena jioni ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wetu

Timu kuingia kambini kesho
Kikosi chetu kitaingia kambini kesho mchana kuanza maandalizi ya mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US