read
news & Articles

Nape Mgeni rasmi mchezo dhidi ya USGN Kesho
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia, Nape Nnauye atakuwa mgeni rasmi katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie utakaopigwa Uwanja

Timu yafanya mazoezi usiku kujiandaa na USGN
Kikosi chetu kimefanya mazoezi usiku huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kujiandaa na mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika

Pablo: Nguvu ya mashabiki uwanjani ni kubwa
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa mashabiki wana mchango mkubwa kwa timu hasa katika michuano ya klabu Afrika. Pablo amesema mashabiki wetu wanachangia kwa

Safari ya treni kwa ajili ya hamasa yafana
Safari ya treni kutoka Pugu hadi Kamata jijni Dar es Salaam katika zoezi la kuhamasisha mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mchezo wetu wa Jumapili wa

Usalama siku ya mchezo ni asilimia 100
Uongozi wa klabu umewatoa hofu mashabiki ambao wamepanga kujitokeza katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie ambapo utapigwa saa nne

Mechi dhidi ya USGN kupigwa saa nne usiku
Mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie utapigwa saa nne usiku badala ya saa moja