read
news & Articles
Matola: awamwagia sifa wachezaji ushindi dhidi ya Dar City
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amewasifu wachezaji kwa kufuata maelekezo kutoka benchi la ufundi na kusababisha kupatikana kwa ushindi mnono wa mabao 6-0 dhidi ya Dar
Tumetinga 16 Bora ASFC kibabe
Ushindi mnono wa mabao 6-0 tuliopata dhidi ya Dar City umetuwezesha kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) kwa
Hiki hapa kikosi kilichopangwa kuivaa Dar City Leo
Kocha Mkuu Pablo Franco amefanya mabadiliko kidogo ya kikosi kuelekea mchezo wetu wa hatua ya 32 ya Michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)
U20 yapangwa na Azam michuano ya TFF
Timu yetu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 imepangwa kucheza na Azam katika mchezo wa Nusu Fainali ya Michuano ya Shirikisho la Miguu
Simba Queens yaichakaza Mlandizi
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeendelea kutoa dozi nene kwa kila timu inayokutana nayo kwenye Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s Premier League) baada
Simba U20 yaipigisha kwata JKT
Timu yetu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 imeendelea kufanya vizuri katika Mashindano ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya kuichapa JKT