read
news & Articles

Phiri, Chama, Mzamiru wachuana Mchezaji Bora Septemba
Nyota watatu wameingia fainali ya kinyang’anyiro cha kumtafuta Mchezaji Bora wa Mashabiki wa Mwezi Septemba (Emirate Aluminium Profile Simba Fans Player of the Month). Wachezaji

Tumeshinda dhidi ya Malindi
Bao pekee lililofungwa na kiungo mkabaji Nassor Kapama limetosha kutupa ushindi dhidi ya Malindi katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Amaan Visiwani Zanzibar. Kapama

Dejan Kuongoza mashambulizi dhidi ya Malindi leo
Mshambuliaji Dejan Georgijevic amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya Malindi FC utakaopigwa Uwanja wa Amani saa 2:15 usiku. Mara kadhaa Dejan

Timu yawasili salama Visiwani Zanzibar
Kikosi chetu kimewasili salama Visiwani Zanzibar tayari kwa mechi mbili za kirafiki kufuatia mwaliko kutoka Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) kipindi hiki ligi ikiwa imesima

Mchezo dhidi ya De Agosto kupigwa Oktoba 9, Angola
Mchezo wetu wa hatua ya kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CD Primeiro De Agosto utapigwa Oktoba 9, mwaka huu katika Uwanja wa

Timu kwenda Zanzibar kwa mwaliko maalumu
Kikosi chetu kitaondoka jijini Dar es Salaam kesho kutwa Ijumaa kuelekea Zanzibar kufuatia mwaliko tuliopewa na Shirikisho la Soka Visiwani humo (ZFF) ambapo tutacheza mechi