read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya

Matola: Maandalizi dhidi ya Dodoma yamekamilika
Kocha Msaidizi Seleman Matola, amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigiwa Uwanja wa Benjamin Mkapa saa

Chama, Inonga warejea kuiwahi Dodoma Jiji Jumapili
Nyota wetu Clatous Chama na Henock Inonga ambao walikuwa kwenye majukumu ya timu za taifa wamerejea nchini tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu ya NBC

Tumeibuka na ushindi dhidi ya Kipanga
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kipanga FC katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Amaan hapa Zanzibar. Katika mchezo

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Kipanga leo
Kibu Denis amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa pili wa kirafiki dhidi ya Kipanga FC utakaopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar saa 2:15 usiku. Kibu

Mgunda asisitiza mchezo wa kiungwana Zanzibar
Kuelekea mchezo wetu wa pili wa kirafiki tutakaocheza kesho dhidi ya Kipanga FC, Kocha Mkuu Juma Mgunda amesisitiza wachezaji wacheze kiungwana bila kuumizana. Kauli hiyo