read
news & Articles
Nyota watakaotuwakilisha dhidi ya Ruvu Shooting
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Ruvu Shooting kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ya Michuano ya Azam Sports Federation
‘Acrobatic’ ya Sakho bao bora la wiki CAF
Bao la ‘tiktak’ la kiungo mshambuliaji Pape Sakho ‘acrobatic’ alilofunga dhidi ya ASEC Mimosas katika mchezo wetu wa hatua ya makundi limechaguliwa bao bora la
Chama: Tuko tayari kwa Ruvu Shooting
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama, amesema wachezaji wote wamejipanga tayari kwa mchezo wetu dhidi ya Ruvu Shooting. Mchezo huo wa hatua ya 16 bora wa Michuano
Queens kumaliza mzunguko bila kuangusha pointi
Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Queens, Sebastian Nkoma ameweka wazi kuwa malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda mchezo wa kesho dhidi ya Fountain Gate ili
Pablo ajipanga kivingine mechi na Ruvu
Kuelekea mchezo wetu wa kesho wa hatua ya 16 bora ya Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Ruvu Shooting, Kocha Mkuu Pablo
Banda: Nilimuahidi mama nitafunga
Winga Peter Banda ameweka wazi kuwa alimuahidi mama yake atafunga katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya