read
news & Articles
Queens kamili kwa Derby Jumapili
Kikosi chetu cha Simba Queens kipo kwenye maandalizi makali kuelekea mchezo wa Derby dhidi ya Yanga Princess wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women’s
Wawa aitaka Fainali Shirikisho Afrika
Mlinzi wa kati Pascal Wawa amefunguka kuwa timu itahakikisha tunapambana katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates kupata matokeo
Queens haishikiki yaichakaza Ilala ‘5G’
Timu yetu ya Simba Queens imeendeleza umwamba katika Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Womens Premier League) baada ya kuifunga Ilala Queens mabao 5-1 katika
Timu yaingia kambini kujiwinda na Orlando
Kikosi chetu kimeingia kambini baada ya mazoezi ya asubuhi tayari kwa maandalizi ya mchezo wetu wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando
Pablo anena ushindi dhidi ya Orlando
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi furaha yake ya ushindi wa bao moja nyumbani tuliopata dhidi Orlando Pirates akisema unatupa faida kwenye mchezo wa marudiano
Tumeingiza mguu mmoja Nusu Fainali Shirikisho
Ushindi wa bao moja tuliopata katika uwanja wa nyumbani dhidi ya Orlando Pirates umetufanya kuingiza mguu mmoja katika Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la